Subirini mtakapoambiwa, kaa chini, songa mbele, rudi nyuma, kaa chini, ruka chura, vua kambale,guu sawa ya goti,chuchumaa, he he he hehe, hwiiiiiiiiiiiii, kama mtaonekana kweli kwenye JF. Mlivyowaoga mtafyata na kumwachia nchezo Lema!
Haijalishi! Akili yako ndogo, kwani hotuba za wakuu zinaandikwa na nani? Au hata vitabu nani anaandikaaga. Rudi shule kakariri. Iwe Lema kaandika kaandikiwa, it is very immaterial! Ila ujumbe na ukweli ndo huo na ndo maana umeumia.
wewe shida yako nini? tukupeleke na wewe ukale bure? Au zimesha kusaidia sasa ndo unataka kujifanya mujanja. kwa vyovyote vile hata wewe ni mmojawapo. SO? SHUT UP! ACHA WAJANJA WAFAIDI MEMA YA NCHI, KWANI WEE HUJUI? WATU WANAPATA FOOD STAMP NA WANA MAGOROFA NA WAFANYA KAZI HUKU TZ, NA...
so what? Si jaona lolote jipya hapo. These are just normal things in politics and religion. Just get their emotions stirred up...peoples powers! Peoples power! You can get the same results or anything! It is a normal human response[mob psychology], especially when people are hungry and tired of...
Hapo mmechemka, mlikua wapi siku zote. Acheni kumdhulumu babu wa watu, mwacheni akae na michango yake. By the way nani ambae sio tapeli awe wa kwanza kunyoosha mkono?
Dalili ya mvua ni mawingu, hii ni dalili tosha kwamba nchi imemshinda jamaa. Na asiponagalia hawa makamanda/polisi watamharibia asimalize 5yrs na peoples power[pp] wakaandamana mpaka....kieleweke. Si wameshajenga immunity na hayo mabomu na risasi moto? Yaani hapo itakuwa ni noma, yaani mshike...
Mbona hizo gari zimechoka sana, sio scrapers kweli? You get only what you inspect, and not what you expect. Angalia odometer, how many mileage left? Let us get deep on this!
Si mchape mwendo, kwani kazi ni kutangaza tu. Au fungueni ya kwenu na mwiite sun shine. Au mmeforge vyeti? Kwani lazima mfanye hapo. Halafu ni mjinga mmeandika majina yenu, ina maana hakuna ajira kwingine tena, labda mfungue ya kewnu. A blessing in disguise!
He, bado unangoja aseme, utangoja sana. Dr. alishasema mapema sana na hamjamuunga mkono kwa lolote. kwa hiyo kijana wa watu amesoma nyakati. anajuta kuwa mtz maana hakuna anaye ungana naye katika mapambano haya. watanzania wana LAANA YA WOGA NA UPUMBAFU. HALAFU NI WAMBEYA NAMBA MMOJA. NI MA...
Hi Mwigulu!Remember, ''Ignorance can be cured/treated, but stupidity/ignorance is forever!'' I wish you were ignorant, but you are both stupidy and foolish. Mwana wanee ee mwana wane ee, mwana wane munoko waniukuninokolia?
Umesahau watu wanaotazamia mitihani au kutoa kiyu kidogo ili wasonge mbele? Mwigulu tunataarifa zake alikua mwibiaji mzuli sana na alikua hodali wa kujikomba kwa maprofesa. Haya ni matokeo ya system chafu ya elimu. Kukaliliiiiiiiiiiiiiiii. Sasa anachofanya ni compesation of poor self academic...
Ahaaa...heri w.iramba tuwakilishwe na huyo mbwa wa cdm kuliko na huyo muzuka anyetumia migulu kufikili na tyue[kichwa] kutembea. Amevimbiwa magai ya nkata[togwa]. Mwigulu cheua kwa kutumia njia mbili ama sivyo utapasuka msamba. Nakushauli uchukue hata political science online. Umetuaibisha...
Huyo mbwa ana akili kuliko huyo mwigulu, kama unabisha muulize huyo mbwa au mwigulu. Mbwa anajua atakua salama zaidi kuliko mwigulu muda mfupi ujao. yaani ananusa na kusoma nyakati lakini mwigulu anapwanga mwigulu tu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.