Naomba nipewe mwanga kuhusu bei ya vigae vya chini kwa hapa Dar es salaam
Vigae vya 60cm kwa 60cm, 50cm kwa 50cm na mwisho 20cm kwa 20cm vinakaa vingapi kwenye box na bei kwa box
Jamani naomba kujuzwa kuhusu vifaa vya umeme vyenye uhakika pamoja na bei zake kuna hizi maiswichi za AVETA zina saketi breka je ni imara, waya zipi ni nzuri mwenye kujua anijuze
Wana jamii naomba kupata ushauri vidole vya migguni na mikononi vinauma, pia vinakuwa kama vinalegea hivi ni ugonjwa gani naomba kupata ushauri kabla sijaenda hospitali kwa anayejua tafadhari
Jamani naomba mnijuze wapi naweza pata madirisha ya alminium kwa bei nafuu
Madirisha yapo kumi na tatu yana ukubwa wa 5 kwa 6 feet, na 2 kwa3 yapo manne
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.