Ndugu mtoa hoja, hoja zako ni za ndumilakuwili!!! Kwanza unakubaliana na mwandishi uchwara kwamba Dr. Slaa alistahili kujiuzulu, lakini leo hii baada ya wewe kugundua -- ugunduzi wa maajabu kwamba wanachama wa chadema hawajai hata darasa moja la shule ya kuangamiza elimu Tanzania maarufu kama...
We hujaelewa hoja kaka, swala ni uwaziri mkuu na sio Pinda, swala ni uspeaker na sio makinda, swala ni AG na sio ... bwa Matusi. Ni vyeo ambavyo vitakuwepo bila kuangalia aliyepo sasa wala chama. Umeelewa sasa??
Mi sijakuelewa, kuunga mkono rasimu ya warioba ni kuunga mkono serikali tatu ambayo ndio msingi wa rasimu yote kabisa. Tusiwe wanafiki, ni either tujadili rasimu ya serikali tatu au tuitupe tuunde tume nyingine ikusanye maoni yatupeleke kwenye serikali mbili!!! Ni ulevi tu, tena ulevi wa madaraka.
Ni kweli Nchi inahitaji kizazi kipya cha kuendesha nchi yetu!! Ila chura anapenda maji ndio, ila yasiwe ya moto!! makamba hana charisma ya kuongoza taifa hili la Tanzania. yeye atakua anatumika tu.
Takwimu za kuporomoka kwa Dr Slaa na chadema zimetolewa na Research Institute gani ambayo ni reliable??? Au zimetolewa na CCM????
Acha kuchekesha UMMA bwana!!!!! Be serious. Mpaka Raais wa nachi mwenyewe anafanya sherehe ya kuwa karibu na vijana wa bongo movie na bongo flava hujui kwa nini...
Kila kitu kudhibiti kudhibiti, sasa hii ni kwa maslahi ya nani? Au kwa maslahi ya uchaguzi wa wanasiasa??? Tuna vyombo vya mahakama ambavyo vinaweza vikasimamia ukosefu wa maadili na pia ku prosecute ---- sina uhakika kama tuna IT ACT italayosimamia mambo ya information technology -- Hili...
Siku zote system ni kubwa kuliko mtu!! hebu niambie, Lowassa ataweza kuinyamazisha na kuidiscipline system mbovu ya ccm ambayo imekomaa kiasi hikii?? Hili ndio swali gumu la Edward Lowassa!!
Clouds FM / TV wasamehewe bure --- wameamua kutumika na CCM na utawala uliopo madarakani ili kujiongezea fedha, miradi na nguvu ya Media hapa nchini. Imeshindwa competitiveness business, lazima ijigande na serikali au kujipendekeza ili ipate business za serikali kirahisi. Ikija serikali...
"Nimeanza kwa utangulizi huo nikienda sambamba na anuani ya thread yangu juu ya washauri wa viongozi wawili wa juu wa chama cha demokrasia na maendeleo Chadema). Nimefikia hatua ya kujiuliza hayo kutokana na mwelekeo mbovu na kile kinachodhihirika kuwa kufa kwa Chadema kama chama kikuu cha...
Wana JF,
Kumekua na mass openings ya watu wa CCM kujinadi kwamba wamefanya makubwa sana nchi hii hasa ukijaribu kuwalinganisha na wapinzani. Wao, ccm wameendelea kudai kwamba wapinzania wanafumbia macho mambo makubwa ambayo ccm ime ya achieve katika serikali zake tatu zilizopita.
Yawezekana...
Wana JF, Naomba kuchangia mawazo juu ya mustakabali wa Nchi yetu hasa kwenye kuboresha maisha ya Mtanzania wa chini.
Tujiulize maswali yafuatayo:
1. Je, ccm inaona vema bado kuendelea kusafirisha ng'ombe kutoka kanda ya ziwa na kati kwa kutumia mafuso na malori makubwa kuja Dar es salaam...
NOp! Nop! Nop!! Hii sio kamuni ya wazawa, hii imekuja ili kupre empty ile kampuni iliyoanzishwa na Mzee Reginald Mengi kupitia Tanzania Private sector Foundation - TPSF, ambayo in real sense ndio hasa kampuni ya wazawa tunayoisubiria watoe share zao.. Wananchi msidanganyike hata kidogo...
Unaongea kitu gani aise?? hujui wala huoni tofauti ya Ukawa na CCM, ccm ni chama cha kisiasa - ukawa sio chama cha kisiasa!! Kuhusu kumiliki mali, nani kasema kumiliki mali ni haramu? Ni haramu endapo mali zako ni dispensary za watanzania umeziiba na kujijengea mali, ni haramu endapo umeiba...
Mchumi Nchemba??? Acha utani bwana, Nchemba amewahi kupractice uchumi wapi? hata family economics hajui. We unamweleza mambo ya international economics. Haaaaaa heee haaaa, tafuta wa kumwuliza bwana, Ncehmba utamwonea. Nchemba muulize mambo ya uzandiki na vuguvugu la kuuwa upinzania kwa ghrama...
Uchunguzi uliufanya, umetumia criteria gani kufanya uchunguzi? TOR zako zilibase kwenye nini? Nani alikuajiri kufanya uchunguzi husika? kwa faida ya nani?
"Zitto huenda akafutwa CHADEMA. Lakini kamwe hawezi kufutwa mioyoni mwa Watanzania" ----- Kwa msemo huu, hii ni kete ya kuanzisha chama...
Hakuna picha yoyote inayoonekana, picha umejijengea mwenyewe tu! harusi hupangwa na ina ratiba maalum kabisa, Je umeshawahi kusikia msiba ukipangwa na kuwekewa ratiba??? Wapo watu wanaoishi hivi sasa na watakupa ushahidi tosha wameshawahi kukosa mazishi ya mama zao, baba zao , shangazi zao na...
Sifa za Abrahaman KInana kuwania Urais:
1. Sio Mzawa asili wa Tanzania
2. Ni muislam
3. Hana Ushawishi kwenye CC ya CCM
4. Ni kibaraka wa Wakubwa kwenye Biashara haramu
5. Anaunga mkono sera ya uraia wa nchi mbili ambayo ni kete ya membe ya Kuwaficha/kuwakinga wahujumu uchumi wa taifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.