Mnamsaidiaje mteja wa CRDB alietumia card yake ya ATM kwenye ATM ya benki nyingine, ana- command kutoa pesa na asiipate at the same time inakuwa ishakatwa kwenye account yake???
Mimi ni muathirika wa hilo. Nime-command kutoa hela kwenye ATM ya Exim - M.City na hazikutoka, dakika ile ile...
Mdau unaesema Serikali imeishiwa, nakubaliana na wewe kabisa 100%. Nina mfano wa taasisi moja kubwa ya elimu, mfanyakazi ninakatwa 10% ya mshahara, na 10% mwajiri anilipie. Lakini cha kushangaza hiyo ya mwajiri naambiwa eti inapelekwa nssf moja kwa moja na serikali. Unapoenda kuulizia huko nssf...
Kuna list ilitolewa na mdau, lkn nikiangalia majina yaliyotajwa leo 'source Mwananchi' mengine hayapo. Je kuna list mpya??
Kama vipi warudhishe zile 30k. Au ndio posho za madiwani wetu kule??
Kweli Tanzania zaidi ya uijuavyo!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.