Pole sana dada Monika2, mdogo wako mie pia napitia hali kama yako. Soma ushauri wa member hapa pia upitie na ushauri kwenye thread yangu. Tena naona tulianzisha jana kwa pamoja. Kisha changanya na zako ufanye maamuzi.
Tafadhali rejea swali la BILGERT.
Pole, nikajibu "Asante" Ndoa ina muda gani? Nikajibu "Miezi 9" je tuna watoto? Nikajibu "tunatarajia mwezi ujao". Bado hujanielewa ndugu yangu?
Ndugu yangu acha tu, nimebakiza kula kwa macho. Ningekuwa na nguvu za kumbaka aisee ningembaka, make naishia kumtamani tu. Kitanda kimoja, shuka moja bila ku do ni bonge la adhabu. Najitahidi kujikausha lakini nazidiwa, ushauri wako ni muhimu sana kwangu
Mumeamkaje, mwenzenu nina hali mbaya. Nimenyimwa unyumba mwezi wa pili sasa, chanzo ni ugomvi wa hapa na pale usiohusiana na mapenzi. Tumesuluhishwa na ndugu na marafiki lakini hola!
Sifikirii kuwa msaliti, nafikiria kufanya maamuzi magumu ya kujiunga na chaputa. Msaada jamani
Habari zenu
Wanajamvi ni jambo la kushangaza nimenunua LUKU kupitia mobile banking transaction kwa sh. 25,000/= cha ajabu nimepatiwa units 10 tu.
Kwanza sijaona ile breakdown kama ambavyo nikinunua kwa M pesa au Tigo Pesa ila units zimeingizwa moja kwa moja kwenye mita.
Hivi kuna namba za...
Dada yangu, watoto tulionao mimi na yeye tuliwazaa kabla ya kufahamiana. Ni wakubwa. Mdogo ana 9yrs, when we met nilikuwa mdogo kana kwamba nilikuwa sielewi nini maana ya ndoa na maisha kwa ujumla. Hapo ndipo alipata mwanya wa kuoa. Then mawasiliano yakakatika, baada ya kutalikiana na mkewe wa...
Ndiyo wewe ni mnafiki, na hayo maneno sio ya kwangu bali ni maneno ya Yesu mwenyewe. Kwanini unaniita mimi mzinifu? Ina maana dhambi ya uzinzi ndiyo unaiona ni kubwa kuliko dhambi uzifanyazo wewe?
Pia naendelea kukupa vifungu as follows:-
"Hata asubuhi kulipokucha akaingia tena hekaluni, na...
Ndugu yangu hapo unaua mbona, in short baba yangu alimtaliki mke wa kwanza akamuoa mama yangu. Mpaka anafariki hakuwa na watoto tofauti tofauti isipokuwa watoto wa yule mke mkubwa na sisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.