Jamani watu kwa wivu na choyo? kwani kipya kipi mmekiona kwenye hiyo cv ya Ridhwan hadi maneno yanawatoka hivyo hamuachi chuki binafsi hivi kweli tutafika kwa vile mtoto wa rais basi watu wanamponda kweli binadamu hatuna wema kazi ya uwakili afanye yeye wewe huku unabwata tafuta kesi umpelekee...
Hongera Raisi wetu watu watakufa midomo juu kwa umbeya la muhimu kazika kamaliza sasa endeleeni kuumia, kila afanyalo baya lipi bora kwenu hamuachi? watu tuache chuki za kisiasa bado hatujakomaa kisiasa tunaleata chuki za paka na panya tutaishia pabaya
Watanzania wengi wetu ni watu wa kupenda kusema kama alikuwa na muda wa kulifresh akaamua kugagua ujenzi wa ukumbi kakosa nini hebu mengine tuyaache yapite kwani kila kitu lazima u comment?
Hapo sasa ni watu wanaonyesha siasa za chuki?
Ya ngoswe aachiwe mwenyewe ngoswe mtaumia jamani
Habari za wakati huu wana Jamii, ninashida namtafuta kaka mmoja anaitwa Twalib (Moloto) au amezoea kujiita majina ya wacheza mpira wa nje alikuwa ni mwenyekiti wa timu ya mpira sinza star.
Nina shida nae sana kama kuna mtu anaweza kunisaidia kumpata nitashukuru.
Ok tumekupata ahsante kwa taarifa ila elewa kuwa hii nchi kwa sasa kuna watu watakupaka matopee kwa sana ili tu kukuchafua pamoja na mzee ni vizuri pia kumuomba Mungu akuepushe na yote kuwa nae karibu wala hutopatikana na baya huo ndio ushauri wangu, Mungu yupo kwa kila mmoja amuombae...
Hao wamejaa mjini yaani watu wamekuwa na roho za shetani kabisa hivi hizi elfu 30 hata ukipata kwa watu 10 itakufikisha wapi bila kuwa na kitu cha kufanya mtu unatapeli hela ndogo kwa mtu ambaye hana kazi hujui unamzidishia matatizo? Hebu turudi vijijini tukalime ili tuepukane na yote hayo...
Mmh huyo kicheche atakusumbua sana kuna wakaati ukiwa kama mwanaume rijali unatakiwa utoe maamuzi mazito bila kujali athari upande wa pili wee endelea kumuhurumia utajikuta na vidonda sehemu za siri hapo ndo utajua huruma yako imekufikisha wapi anatanua na wengine wewe anakuweka kama spare upo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.