Dada mmoja alikua na mchumba wake ambaye walipendana sana walikaa ktk maisha ya uchumba kwa kipind kirefu bila ya kuvunja amri ya 6,lakin mtaani kulikua na fununu kua jamaa si rizik,ila yule dada alikataa na kusema ya kua hayo maneno c ya kwel bali wanamzulia,bahat nzur ndoa inafungwa ck...
Kuna mmbongo mmoja alienda ulaya na kwa bahat mbaya kingereza alikua hajui ila akapata rafik mzungu aliyeitwa Mlumbwende,ck moja walienda kuoga na huyo rafik yake kwa bahat mbaya rafik yake mzungu akamezwa na papa,akaja mzungu akamuuliza yule mmbongo kama ifuatavyo:
mzungu: where is mr...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.