mkuu jk pango lote la escrow anajua kila kitu. alilinzisha yeye 1994. siku zote harbinder singh akipita pale VIP JNIA hutambulishwa kuwa ni mgeni wa rais. wapokeaji ni wa ikulu. anachosema dr slaa ni kweli kabisa mzee wa kuzoza anahusika 150 pc.
Yaani jk ni mwizi tu. Hata hotuba alikuwa anaitoa huku anaona KBS anatupiga fiksi. Mdau wangu kanijuza kuwa huyo harbinder sing a akipita pale airport vip alikuwa anatambulishwa kuwa ni mgeni wa rais . ndo maana sikushangaa content ya hotuba ile. This is only in Tanzania.
mwigulu haraka ya nini? unaleta thread halafu unawaambia mods wafatilie. au hao magaidi wenzio kina mchange ndo wamekupigia ukiwa control room yenu ya ugaidi na ukawahi kupost? yana mwisho haya.
amani iwe juu yenu wanajf. muda mfupi uliopita nilikuwa jengo la mizigo JNIA na nimeshuhudia mapokezi ya askari wa jeshi letu , JWTZ aliyefariki ktk mapambano ya kuwafagilia mbali waasi wa m23. ilikuwa ni huzuni kubwa sana. RIP Major.
mkuu, na JK kawaambia wakae mkao wa kula kuipokea serikali ya TANGANYIKA. Yaani waanze kuzoea sasa kwanza kukubali serikali 3 sbb wananchi wameamua pili kuwa chama cha upinzani.
PEEEEEEEOPLES POWEEEEEEEER
mkuu kuna baadhi ya vipande vya magogo huwa vinaungua taratibu hivyo nadhani wakati wa kuweka kwenye magunia bila kukusudia inawezekana kipande hicho kikawekwa jwenye gunia. hebu fikiria gunia hilo maalim seif ndo kalinunua, je hiyo ndege itakuwa salama kiongozi?
hongereni nyie madiwani mlofukuzwa na chama cha madawayakulevya. hakika nyie ni mashujaa hasa sbb mmesimama upande wa haki, that is wananchi. sababu imedhihirika kuwa mnachopigania wazee wa madawayakulevya wanakipinga, then jiungeni na wapigania haki wenzenu ambao wanapatikana ktk cdm. huo ndo...
mkuu gesi waache wawinde watakavyo sababu hayo ndo malipo ya ule mkataba wa siri uliotiwa saini beijing mtoto wa kwanza wa nchi hii alipokamatwa na zigo la bwimbwi hukoo uchina. na majuzi mhe weka mbali na tembo alienda kukazia mkataba zaidi kwa kwenda kuwaelekeza maeneo ya kuwinda. kwa hiyo...
mkuu nakuunga mkono kabisa. toka 2010 daftari la wapiga kura halijarekebishwa kujumuisha wapiga kura wapya ambao ni vijana wengi sana. magamba wanalijua sana hili ndo mana wanatake advantage.
kenyata wanataka aanze kuendesha hivi hivi na ukitilia maanani mama bensouda kasema kuwa ICC ina concrete evidence dhidi yake! naamin judiciary ya kenya itatoa uamuzi ambao utakubaliwa na wakenya wote. ALLAH waongoze majaji wa kenya wafikie uamuzi wa haki.
mkuu jackbaur policcm watakuja early in the morning. machinga wajimobilize wakeshe hapo. km eneo lilitengwa for them na likauzwa kifisadi kwa fisadi then the right to defend it is inevitable. wakeshe kulilinda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.