wakati umefika serikali iweze kubadili mfumo wa ajira hasa kwa management za halmashauri zetu.kuna baadhi ya halmashauri zinafanya vizuri sana lakini nyingine huwezi kuamini.watu wenye uwezo wa kufanya kazi wanakuwa frustrated ili wakimbie na kuacha nafasi kwa wasionauwezo na ambao wanamtandao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.