Tatizo lako Paschal nakuona kama vile unamdhihaki mzaa baba kiaina. Hizi nyuzi zako kila nikiziangalia mankusoma naona kabisa ulikia unaandika ukicheka
Rosemarie umeuliza swali zuri, ni hivi
Kuokoka au kuokolewa kwa neema maana yake ni sisi wanadamu baada ya anguko la baba yetu Adam, watoto waliokua wanazaliwa hawakua kwa sura na mfano wake Mungu kama ambavyo Adam alikua, ukisoma maandiko Mwanzo 5:3 utasoma ukweli huu kwamba sisi tuliozaliwa...
Ndugu polesana,kwanza kabisa niseme kuwa mimi ni mkristo hivyo napenda kukushauri kuwa achana na huo mpango wa kwenda kwa waovu kufanya yaliyo machukizo mbele ya MUNGU wetu.unazo option nyingine ikiwemo ya kusamehe maana itakuondolea uwezekano wa kumtenda MUNGU dhambi.
Nasema hivyo maana hadi...
Ndugu polesana kwa tatizo hilo, kwa ufahamu wangu wa mambo ya rohoni nakushauri ufike kanisani upate maombezi utapona. Mimi nilikua na tatizo hilo kwamuda mrefu sana hadi nimefika kidato cha pili, niliwahi kukosa mitihani kwa sababu ya kipandauso, nilitumia dawa mbalimbali ila nilipona...
Ninachokiona mimi kuna haja ya sisi tunaopata habari hizi kuwahamasisha wengine hasa wale ambao wanaamini kuwa siasa ni jambo baya wanasahau kuwa ndo inayoleta mustakabari wa nchi.
Hapa ndo penye kazi maana kama tutafanikiwa kuwahamasisha ndugu zetu basi hawa mafisidi lazima tutawashinda tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.