Mods tafadhali naombeni hii ikae hapa angalau weekend hii ingawa haiusiani na siasa moja kwa moja.
Nilikuwa napitia blog ya michuzi na nikaona tangazo la watanzania walioko Dallas ambao wameanzisha restaurant yao na kuiita kijiweni. Tafadhali fuata hii link hapa chini:
MICHUZI
Kwa kweli...
Alhamisi moja ya september 2006, nilihudhuria sherehe ya kumtunuku Raisi JK Kikwete shahada ya heshima ya udakitari wa sheria kwa utumishi bora toka kwa chuo cha St Thomas - MN Marekani. Tukio zima, hotuba ya Kikwete, na hotuba ya kituo cha uwekezaji kwa wafanyabiashara na wakaazi wa MN...
Hizi habari kuwa majeshi ya Uganda yapo kenya ni ya kweli? Kama ni kweli mbona hii sasa inatisha jamani kwa amani ya ndugu zetu wa kaskazini? Kwa wale walioko Kenya tupeni habari jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.