Search results

  1. M

    Watanzania wa Dallas wafanya kitu cha kuigwa

    Mods tafadhali naombeni hii ikae hapa angalau weekend hii ingawa haiusiani na siasa moja kwa moja. Nilikuwa napitia blog ya michuzi na nikaona tangazo la watanzania walioko Dallas ambao wameanzisha restaurant yao na kuiita kijiweni. Tafadhali fuata hii link hapa chini: MICHUZI Kwa kweli...
  2. M

    Kwa yaliyomkuta Nape Nnauye na Mwita Waitara, je nini nafasi ya vijana ndani ya CCM?

    Alhamisi moja ya september 2006, nilihudhuria sherehe ya kumtunuku Raisi JK Kikwete shahada ya heshima ya udakitari wa sheria kwa utumishi bora toka kwa chuo cha St Thomas - MN Marekani. Tukio zima, hotuba ya Kikwete, na hotuba ya kituo cha uwekezaji kwa wafanyabiashara na wakaazi wa MN...
  3. M

    Ni kweli Majeshi ya Uganda yapo Kenya?

    Hizi habari kuwa majeshi ya Uganda yapo kenya ni ya kweli? Kama ni kweli mbona hii sasa inatisha jamani kwa amani ya ndugu zetu wa kaskazini? Kwa wale walioko Kenya tupeni habari jamani.
Back
Top Bottom