Pole dada Shenazi, hata sisi tunabaguliwa kwa kukosa @ (ankara). Inanishangaza hadi leo hii wanawake wanachagua waume kwa pesa, wasio na pesa watapata wapi uroda?
Lakini mbona wewe sio mbaya kihivyo?
Hapa ndio unadhihirisha ujinga wako. Kwani hapa ulileta mada ya Kiingereza bora na kibaya au ulikuwa unamzungumzia mtu Adili? Unaumwa kichwani wewe, jibu hoja, habari za Kiingereza achana nazo.
Acheni wivu wa kike na kunung'unika kama mmevunja ungo juzi, Lowassa ni Mkristo, ushiriki wake kanisani unawauma wapi? Oilcom anavyowajengea misikiti yake ile asiyoruhusu wanawake kuingia, kuna mtu amehoji kwa nini? Haya.......
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli, Mh. Edward...
Huu muungano ungeishia hapa ulipofikia na kila mtu arudi kwao period! Tukiendelea namna hii, kitaachofuata ni ujirani mbaya. Heri uishe sasa tubakie kama majirani wema
Huu ndio upuuzi wenyewe. Alitaka kuwekeza Dar kwa lipi wakati malighafi anazotaka kutumia zipo Mtwara. Hii ni changa la macho, huyo alitaka kuwekeza huko huko Mtwara na wala sio Dar
Serikali haiwajali wanaMtwara wala mtu yeyote. Hicho kiwanda ni cha Dangote na sio serikali. Yenyewe hiyo serikali yako imeua vyote vilivyokuwepo na viwanda vya kubangua korosho vimegeuzwa ma-godown ya kufanyia miradi yao.
Sina cha kukushauri juu ya mke wa namna hiyo zaidi ya kulikabidhi suala lako kwa Mungu.
Siku utakayohamia kwenye nyumba na ukaona anapatana na mama mwenye nyumba, basi ujue mwisho wako uko karibu, atakuwa amekutana na mchawi mwenzake.
Hii sio mada ni manung'uniko. Kuna kitu alikitegemea sasa kimekwamishwa na circumstances ndio anatoka povu. Anaongea as if watu wote wanaokaa kwao anajua sababu za kukaa kwao nyumbani.
Kuna watu wana majumba makubwa hasa, ila wanaathiriwa na upweke. Hivi ukiwa na akili timamu unaweza kumuacha...
Mbona umekuwa mkali hivyo, kweli nia yako ilikuwa kujua tu? Hebu rejea hii kauli yako mwenyewe halafu jiulize kama huna kitu moyoni: Kinachonikera hawa vijana ndo wa kwanza kujishaua mjini hapa kwenye starehe!
Yaani kumbe unakereka kabisa! Hivi kwa mfano, mimi nikiwa na tabia ya kutumia...
Sidhani kama alichanganyikiwa, He was at his best state of mind. Hiyo ndio akili yake, mchumi yule. Na kwa jinsi anavyotetewa nimeelewa kwa nini yupo pale anagombea na kushindwa miaka nenda miaka rudi: HAMNA MTU MWINGINE MWENYE AKILI ZA KUMKARIBIA KWA HIYO YEYE NI BORA sasa tafakari kama...
''Kushindwa katika jimbo la Uzini mimi nilikutarajia, na mimi hilo wala halikunishangaza. Uzini inakaliwa na Makristo wengi wametoka Bara, makanisa ni mengi sana huko....hatuwezi kushinda Uzini''
Jusa Ismail Jusa Ladhu
Naibu Katibu Mkuu (CUF) - Mahojiano na Mlimani TV
Mimi nikajiuliza tu...
Hata Lipumba angelala msikitini sio shida, shida ipo kwenye alichoenda kufanya huko. Ile kauli kwamba Sheikh Basaleh alimsifia kwa kumwezesha Kikwete ni siasa.
Akili zako ni fupi kiasi huwezi kutofautisha ya Lowassa ambaye anawaambia watu wakazanie maendeleo. Au mtu akiwaambia wenzake wapige...
Hili zoezi lao limechelewa kuanza, lingeanza mapema ile Janury kwenye upuuzi wa kwanza, ungekuta sasa hizi mnaulizia barabara na hospitali tu shule hamna haja nazo kwani akili zingekuwa zimewajaa vichwani kupitia ma_akoni.
Si mbaya hata hivyo, cha muhimu tu wapatiwe mwanzi mbichi kwani mkorosho...
Huu ushauri wako anzia nao kwenye chama chenu cha magamba. Yule mzee wa mikasi anapoenda kwenye shughuli zake za kukata utepe, basi msivae miguo yenu ya magamba kwani Zahanati ya Kijiji ni shughuli ya umma na sio ya CCM.
Mkuu Mohamedi Mtoi, jambo lolote linalohusisha watu wengi huwa na mushkeli. Jambo Leo linaripoti kuwa WAMEKUBALI, hizi tutaita propaganda, lkn litakaloripoti WAMEKATAA tutasema limesema kweli. Jambo la kujiuliza ni kwamba hawa wote wawili wanamhoji nani?
Wakati tunaona watu na mabango mitaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.