Wema ana nyumba tangu lini. Na sio yeye tu, sidhani kama kuna msanii hata mmoja wa kike bongo mwenye nyumba, zaidi ya kupanga na kuishi maisha ya kifahari kwa kutegemea wanaume waliokosa akili.
Nahisi kakosea tu ni laki 7....!!! hahahaaaaaa!!!! Vigodoro amuachie nani huyo Wema, ana akili hata ya kufanya biashara ya mtaji wa laki moja yule... tuondole ----- hapa... story zenu za vijiweni ndio unatuletea hapa ili tufanyeje.
Ruge ana manage wanamuziki au anawatumia na kuwanyonya. kawageuza mirija bila wao kujijua. Waliofanikiwa kama kina Chibu na Jide ni jitihada zao wenyewe. Aliyemfikisha Jide pale alipokua alikua Gadner, maana hata alipoachana na Gadner alishatoka kwa mnyonyaji Ruge for years and yet she was doing...
Ruge alikua nani kwa Jide na wewe?? Ninachokiona Jide kaanguka baada ya kuachana na Gadner, pamoja na kashfa zake nyingi baada ya kuachana lakini Gadner alikua na mchango mkubwa sana kwa huyu dada. Watu wanashindwa kujua kua support sio lazima iwe pesa. Moral support ambayo Gadner alimpa Jide...
Mie naona niko njia panda, sijaelewa kitu. Kwanini huyu bibi ndio katolewa kafara wakati mpaka kina Lukuvi hizi pesa wamepewa?
Hebu naomba mnijuze maana sielewi kwanini yeye ndio awajibishwe! What about the rest?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Matatizo ya rushwa kwenye mikopo sio NMB peke yako, karibu bank zote watu wanalalamika. Mkopo hausogei mpaka utoe ahadi ya kutoa kidogo kidogo kwa watakaokushughulikia, utadhani hawana mishahara wakati hizo ndio kazi zao. Stanbic, Standard chartered, Barclays na nyingine nyingine hali moja...
Tatizo la wa TZ wanadhani mchango lazima uwe wa mali au pesa. Wanashindwa kujua kua mchango wa mawazo na nguvu ya mtu hushinda mali na pesa wakati mwingine. Gardner, niko na wewe, you've done so much kwa yule mwanamke, unahitaji mgawango wa mali, pasu kwa pasu. Hakuna asojua kua bila wewe Jide...
huyo baba alikua wapi wakati diamond alipokua Tandale akiuza mitumba na vocha...!!! leo kafanikiwa ndio baba unajitokeza? hakuna laana inayompata mtoto kutoka kwa baba aliyemtelekeza. Yanayomkuta diamond ni ya kawaida, katika maisha kuna kupanda na kushuka. ulitaka diamond awe juu hadi anaingia...
Mbona tunalijua hili, kwanza anayekuja kwa nia njema wala hana sifa zilizopitiliza. Ye kimya utamgundua kaoza kwa jicho lake kwake... Watoto wa chuo na shule labda ndio mnawapata kwa style hii.
Lazima ujisikie umeonjwa kama you expected more than that. Kwa maturity yangu first time sex sitegemei chochote kwa yule mtu, nahesabu ilikua starehe ya mara, akirudi poa asiporudi na mie naishia vile vile na yeye nimuache na maswali. Manamke hutafutafutwa jamani, sio wewe kutwa ndio...
Kizaizai umeongea kwa kweli. Namna ya ku kiss ndio mpango mzima, maana kuna wengine, tobaaaa!!! hutataka arudie tena, hata ujitahidi vipi kuelekeza kwa vitendo ha respond ipasavyo. Mtu kama huyu ni talaka faster, usije ukanyofolewa kiungo :wacko:
Nadhani kusengenyana kifamilia ni tabia za watu na watu. Hata waliooa wake wadogo, mawifi wengine ni tatizo. Mdogo wangu wa ameoa mwanamke alomzidi 5 years. Wanavyoelewana familia tumekubali na tunampenda kupita hata wale walooa wake wadogo. Umri sio tatizo, most important ni mnapendana na...
Sijamaliza kusoma yote maana ni ndefu kidogo ila nitaipitia tena. Gharama za atakachovaa bibi harusi mtarajiwa siku ya send-off na kitchen party sio za mwanamme, labda kama unataka kujitutumua usaidie. Send-off hasa kwa mwanamke mwenye wazazi ni jukumu la wazazi kumvisha binti yao. Sijui kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.