hata malaya nao hubadilika nakuacha nyendo zisizofaa
kwenye biblia Nabii Hosea aliambiwa akamuoe Gomeri aliyekuwa malaya wa kutupa
Je unajifunza nini ?
Pole mkuu
Mii nilidhani mwaka ukiisha unajifanyia evaluation ya malengo kama yametiki
Eidha umeongeza kiwanja cha low density walau . au umeongeza vyanzo vya mapato
Ili lyfe liende kumbe unatuchamba dada zako
Ok ngoja tuwasubiri Marefa au lines men poa tu
Alikosea kukupiga
Yeye ndo ana determine idadi ya watoto kutokana na idadi ya sperm alizonazo , kama sperm zake fertile anaweza kuwa anatoa povu mbegu KKushney na pia kama sperm haziko na irregular shape ili kuweza kuswim na kufertilize ovary alipaswa ajihoji hz vitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.