Duh, mkuu hiyo imezidi..bila aibu unadiliki kuwaita nyani?? hujui kwamba huyo huyo almighty anadhihilisha uponyaji wake kupitia wao. Hakika sku moja mungu atakuonyesha umuhimu wao na utajuta kuropoka upuuzi.
Mkuu kabla ya kushabikia kitu jua kwanza undani wake na uwe na taarifa za kutosha.Kwa faida yako na wasio jua ka ww..kufutiwa leseni sio kufutiwa degree yako..na naomba ujue kwamba udactari ni zaidi ya kutibu!!kuna kazi nyingi sana ambazo Dr anaweza fanya,preventive medicine is the one na...
Sijawahi ona zuzu km ww yaani huoni umuhimu wa vifaa tiba!!?eti iwatoe wote.hivi unajua ku train Dr mmoja inachukua muda gani? au unahis ubunge huo kwamba akifa leo kesho mnafanya uchaguzi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.