Kila nikijaribu kutafakari kuhusu hili la waziri kufuta mashindano ya Umiseta na Umishumta mwaka huu ili pesa ikanunue madawati najikuta na maswali mengi kuliko majibu.
· hebu tujiulize tatizo hili la wanafunzi kutokuwa na madawati limeletwa na nani? Mbona tunawawajibisha wasio kosa.
· Kama...
Kwa demo aliyokwisha kuonesha Magufuli na PM nafikiri sasa sifa za mawaziri wake naziona wazi:
1. Mzalendo- kwa vile neno limekwisha kuchafuliwa sana nielezee kuwa huyu ni mtanzania yule akiona kitendo/uamuzi wake umewasaidia watanzania walio wengi moyo wake unaburudika, akiona kitendo/uamuzi...
Tokyo umesema vizuri.
Kuna eneo moja sikubaliani nalo in like LA kodi Kwa biashara zinazopata FAIDA ya chini ya mil 4 Kwa mwezi. Hii in mil 48 Kwa mwaka. Hili ni pato kubwa sana kuto kutozwa kodi labda kama ulimaanisha mil 4 Kwa mwaka. Pia ubapozungumzia FAIDA Kwa biashara ndogo kuna tatizo...
Hapa unachanganya masomo mkuu. Sherehe zimesimamishwa na pesa zilizokua ziliwe zimepona(full stop). Ule muda Wa sherehe utatumika kufanya usafi ili kupambana na kipindupindu hili ni Jena na halina shida. Kama kuna ufisadi ktk kufanya usafi huo in ufisadi mpya Wa halnashauri/mkoa husika siyo...
Nilikua Dar, tuko bar tunaangalia tv ya kuapishwa kila mmoja amekodlea macho ila you an tell anapocomment kuwa hana raha. nimeenda uwanja wa ndege nikakutana na waliotoka Mwanza wanazungumza hali hiyohiyo- kuna ukimya usiyo kawaida unaoendana na kukata tamaa.Ndiyo unaweza ukaukataa huo ukweli...
umesema kweli mkuu, ndiyo maana ni muhimu kwenda ICC kwani tulifikiri wanaotoa nchi kwa Lowasa au yoyote yule ni wananchi lakini tumegundua sivyo. Kuna "chombo au kundi la watu" waanaofikiri wao ndiyo wenye haki na mandate ya kutoa nchi kwa wanayempenda. chombo hiki kiko juu ya sheria zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.