60% ya bidhaa za transit zinapita Tunduma-Nakonde border, anayedhani ni jambo rahis ajiulize tankers, truck ngapi zipo barabarani kuelekea Tunduma mida hii? Hiyo mizigo 90% inabebwa na trucks za Tanzania...we fucked up..Jesus!!!
76 mndava sana
Siku yupo patrol kitaa chote wahun wanasambaa hata wik nzima hawatokei
Ujambaz ukitokea akipelekwa front kesho yake utasikia majambaz 5 wameuwawa na polisi kwenye mapigano!!!
Ila Tunda watu wanakunja na mzee hana la kusema...
Wame fight wik nzima stil wamefariki
Navyojua madhara ya moto yadhoofisha mwil kidogo kodogo...organ moja baada ya nyingine
Wale wote walikua wanaongea na Magu wako ICU
Terrible kwa familia kushuhudia huu mtihani...
Huyu mangi ni proffesional killer
Ndio kazi yake..alikua kituo cha sitakshari nadhan mnajua shughul za hicho kituo
Sijui kwa sasa yupo chimbo gani!!
Kaskazin nadhan aliweka rekod kwa kutoa roho za wahalifu
Kumbe ana watoto!!!
Waje wasome wajue ubaya wa baba yao
Jamaa kafa kweli
Hao wakina victorie wanashabikia kivuli tuu
Huyo mjane anaonekana kama na yeye mtu wa kitengo!!
Kwa tunao tumia barabara ya Morogoro-Chalinze Dar mziki ni mnene
Kuna ajali daraja la Ruvu
Tanker ya mafuta imegongana na fuso..zimamoto wamewahi
Wazee wa betri hawakuwepo
Kuna bonge pin!!!!!!
Leo moro saa 12 jioni
Masenaries wazuri kwa Afrika wanatoka Libya,Niger,Darfur na South Africa
Ukitaka pindua tawala hao ndio kazi zao
Ukiwa na budget nzuri wasiliana na blackwater USA ni security contractor wazuri sana wana state of art eqpts
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.