Sometimes you don't need somebody to tell you everything under the carpet and here there are lots of possibilities hidden everybody can mention his/her own. Islamic states? Political reasons? or may it's because of the persons responsible for the matter have been afraid ing of who?? Or may be...
:welcome::welcome: Paul James Sweya, kaanzia maisha mwanza hotel kama dj baadae akapata kibarua sahara media kwa dialo pale akakutana na watangazaji wazuri wakamfundisha kazi, kutokana na ujanjaujanja alionao akaweza kutangaza na akaanza kupata umaarufu kiasi flani pale mwanza na kwa...
Leo nimemsikia aliepata kuwa waziri wa Mambo ya ndani Lawrence Masha akihojiwa na EATV akasema anafanya kazi ya kukusanya/kusomba taka toka ktk makazi ya watu, alikana kuwa alikuwa anafanyia kazi zake ROSE GARDEN ila alikubali kuna wakati alikuwa anashinda pale na akasema alikuwa anaenda pale na...
Ni kweli wamekutana ila haikuwa kwa siri. Ilikuwa ktk msiba wa Mzee Makani ambapo Jk aliwapa CHADEMA pole kwa msiba huo na kuwapongeza kwa juhudi zao za kulikomboa taifa hili tajiri.
Msako unaendelea
Kwa maelezo unaweza kumshawishi mtu mwenye akili zake kuwa nawe sio mnafiki? Inakuaje unaeleza maana ya unafiki halafu unaandika unafiki?
Hapa unasafisha sahani halafu unaijambia kabla ya kupakua chakula... Loh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.