Ukitaka kujua ni expensive, assume mnaenda kundi la 5 people, total cost inakuwa 8.5 million kwa ajili ya kupanda mlima, sijawahi kupanda ila logic tells me hakuna hotel ya kifahari wala chochote extraordinary katika service mtakazopewa. Unless mtaalamu aje kutupa breakdown ya 8.5m kama cost ya...
USHAURI WA BURE: Serikali haifanyi kazi kwa mdomo inafanya kazi kwa maandishi. Jitahidi ata tatizo dogo andika barua, maana unaweza ongea na afisa huyu, kesho asiwepo akaja mwingine, kukiwa na maandishi its easier kutrace. Happy New Year.
Sijaoa ila nina 2 baby mamas
Wakwanza alishamove on na mtu mwingine so simhudumii and mtoto yupo kwa Bibi yake.
Wapili ndo ninaemhudumia ni associate kwene law firm 1 town, nilikataa kumuoa akataka kunicut off na mtoto wangu kabisa, so kupooza mambo ndo imebidi nijiingize kwene hizo gharama.
baby mama expenses
fuel - 200k
Appartment - 450k
luku - 65k
dstv - 49k
dawasco - 25k
vitu vya kupika(kuku, fish, c-oil,etc) - 250k
gesi - 48k
maid - 70k
Contengecy (saloon, etc) - 200k ila hii sio kila mwezi n iko flexible
Piga mwenyewe hesabu apo bado matumizi ya mtoto kama S26 kopo (10)...
mkuu hofu yangu ni kwene reliability na je inahitaji ile extra care au unaeza kuburuza kama toyota?
Maana nataka kuchange from toyota baada ya wezi kunitenda taa, side mirror, power window, dashboard, control box etc
Habari za kazi wakuu. Kuna mtu humu ndani ana real experience ya VW tiguan. Nataka nijue mtazamo wake interms of reliability (frequency ya kuharibika), comfortability, fuel consumption, road stability yake kwene long trips and maintenance costs.
Nataka nichukue VW Tiguan LEISTUNG ya 2011...
Habari za kazi wakuu. Kuna mtu humu ndani ana real experience ya VW tiguan. Nataka nijue mtazamo wake interms of reliability (frequency ya kuharibika), comfortability, fuel consumption, road stability yake kwene long trips and maintenance costs.
Nataka nichukue VW Tiguan LEISTUNG ya 2011...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.