Search results

  1. Kibada

    Nina kivimbe kwenye mbavu usawa wa breasts

    Ndugu nina kivimbe kwa zaidi ya miaka nane sasa sehemu niliyotaja hapo juu.. Hivi karibuni kimeanza kuuma na sijaenda hospitalini. Je kivimbe hicho kinaweza kuwa kimesabishwa na nini? Naombeni msaada..
  2. Kibada

    Bongo Flava industry in the Scholarly article

    Someni hapa http://www.ifeas.uni-mainz.de/workingpapers/AP127.pdf kuhusu "The Bongo Flava industry in Tanzania and artists’ strategies for success".
  3. Kibada

    Hii inaweza kuwa imesabishwa na nini?

    Jamani yamenikuta hiyo juzi! Nilikula nyama ya mbuzi kwenye bar moja hivi mimi na rafiki yangu.. Baada kama ya nusu saa hivi nikaanza kuwashwa mwilini sana... Mpaka leo ndio imepungua... Nikamuuliza rafiki yangu nae kasema aliwashwa kama mimi...! Hii inaweza kuwa imesababishwa na nini?
  4. Kibada

    Masters degree thesis writing : Which is the best option?

    Which one is the best option to students who are about to start writing master’s thesis? Giving them a research title or let them suggest research title?
Back
Top Bottom