Ndugu nina kivimbe kwa zaidi ya miaka nane sasa sehemu niliyotaja hapo juu.. Hivi karibuni kimeanza kuuma na sijaenda hospitalini. Je kivimbe hicho kinaweza kuwa kimesabishwa na nini? Naombeni msaada..
Jamani yamenikuta hiyo juzi! Nilikula nyama ya mbuzi kwenye bar moja hivi mimi na rafiki yangu.. Baada kama ya nusu saa hivi nikaanza kuwashwa mwilini sana... Mpaka leo ndio imepungua... Nikamuuliza rafiki yangu nae kasema aliwashwa kama mimi...! Hii inaweza kuwa imesababishwa na nini?
Which one is the best option to students who are about to start writing masters thesis? Giving them a research title or let them suggest research title?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.