Jamani! ! Apumzike kwa amani. Siku wa namfahamu ana kwa ana, ila kwa kusoma michango yake humu ilikuwa kama namjua. Poleni sana mlioguswa na msiba huu.
Mleta mada kweli ni Dr. Wa buguruni, maana hii hadithi Yake Mara jamaa alikuwa anasubiriwa kufungisha ndoa Mara kauwawa kwenye ujambazi. Sijui lengo ni kumtetea marehemu au kuthibitisha yaliyosemwa na Grader.
Kafara umenikumbusha miaka ya mwishoni wa 80s na Mwanzoni mwa 90s wanafunzi tuliokuwa tunasoma shule za kutwa Dar tulikuwa tunasafirishwa na gari za umma (Tanzania Breweries, Bandari, shirika la Petroli n.k)jioni tukitoka shule. Yaani kila route ya Dar ilikuwa na basi lake. Hii kwa sasa imebaki...
Mkitafakari hili nendeni Gikomba / Kikombaa soko kuu la mitumba Nairobi..... fanyeni census ndogo tu...... zaidi ya nusu wauza mitumba ni wachagga wa Rombo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.