mi sion haja ya mtu kuanzisha tred kama mawazo yako ni mgando kiasi hichi..si lazma uandike..ni bora ukae kimya ufiche upuuzi wako. sikuwahi kufikir bado kuna watanzania wenye mawazo finyu kama wewe
nianyoelewa mimi engineer ujiiti we mwenyewe..Qualification zako tosha zinakufanya uonekane engineer..huyu mama hakuna kitu...full technician si engineer kama anyojiita..DIT na FOE ni sawa na chupi na boxer..uwezi fananisha.
Concept ya real engineer: Engineer must know everything except...
Man yan hapo huna mtu..kitendo cha kutoitambua sauti yako ni kosa la kwanza hata kama umebadili sauti vipi.
pili sitegemi dem anatongozwa na mtu anaingia kingi mpka atua ya kufanya mapenzi bila ya kuonana na mhusika..hiyo ina maana hana chembe ya utulivu.
tatu kama ameamua kuondoka mwenyewe...
jaman huyu lisinde mnamuonea bure!hebu angalien elimu yake, chama chake nacho, na magamba wenzie kama wasira. mi nafikiri wananchi ya mtera ndo wana haki ya kumsulubu huyu bwana kwa kuwazalilisha...waandamane wamkatae kabisa na uchaguzi utaitishwa atakapojiuzulu...mi huyu jamaa hata akifa mait...
Kumsamehe unaruhusiwa, na nimuhimu kabisa.ila sio kurudiana nae au kuendelea na mausiano..kwanza ukimsamehe anaeza kuja kukupiga chini wewe then ukajinyonga ukatuletea shida nyingine hapa. Kwanza ulimuliza demu mwenyewe?? majibu yake yalikuaje? au ukute alikuambiaga ana jamaa mwingine we ukawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.