Habari yenu wana JF. Mimi mkazi wa kigoma wilaya ya Kibondo. Naomba msaada wenu. Nikiwatazama ndugu zangu wakulima huku tunaishi maisha magumu lakini nilipoiona thread ya uzalishaji wa Arlizeti hapo juu kwa mchangiaji nimepata matumaini.
Maana ardhi yetu huku ni bora mno na yenye rutuba ya...
Nnauye we mpumbafu....hivi unadhani roho zenu za kigamba za kinyama zitawafikisha wapi? Naomba ujaribu kufatilia mafundisho ya Biblia hasa hasa Ufunuo wa Yohana....huna jipya ila minyororo inakutesa ya utumwa wa shetani....kijana mdogo mfuate mungu. CHADEMA TUNARUDI MJENGONI KWA SURA YA G.LEMA...
watu wa namna hiyo wanaotegemea misaada ya kujiibia wenyewe ndo maana wataishia kupanga nyumba asilimia kubwa. Tujifunze kwa Wameru......maana sisi Wakigoma tulishafaata nyayo....hongera Nassari na hongera JF kutuweka pamoja nguvu ya umma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.