wengi wetu hapa hatujazisoma katiba hizo lakini nashindwa kuelewa inakuwaje tunaacha hoja ya msingi tunarukia kutukanana?,mnyika kwa nafasi yake yupo sahihi
mtoa mada na wajinga wachache wanaokuunga mkono mna matatizo yenu binafsi huwezi sema mbowe,msigwa nk hawana akili jitathmini kwanza ww chadema hatuchagui viongozi kwa majina ya baba zao sisi tunaangalia vigezo na uelewa wa mtu
alichokifanya ni kutetea chama chake na si matakwa ya watu wa zanzibar ukweli utajulikana tu muda c mrefu yatawashinda watarudisha tena sheria hiyo ifanyiwe marekebisho tu maana imewashinda wamepitisha kwa wingi wao sio ubora wake
huyu bwana athanas namfahamu vizuri nilisoma naye shule ya msingi saba saba na akaendelea seminary mpaka kuja kupata digrii ya biashara na pia ameshawahi fanya kazi maeneo mengi hapa iringa.Mwaka 2010 aligombea udiwani kata ya gangilonga kwa tiketi ya CHADEMA ni mwanachama wa kawaida kama mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.