Search results

  1. A

    Msaada kwenye process za kibali cha ujenzi

    Andaa ramani kama2 hivi upeleke manispaa...
  2. A

    Waliojenga mwaka 2021 tunaomba uzoefu wenu

    Mtaani kwangu cement sasa imefikia 15,500 ukilinganisha na 14,500 niliokua nannunulia awali. Interval ya mwezi 1 tuu.
  3. A

    Kuna mwana JF anatumia ugoro?

    Hii Ngisujii, ni dawa nzuri sana kwa mafua.
  4. A

    Gharama za ujenzi TZS 13M

    Kasome tena kwa makini nilichokuwa nauliza utaelewa nilichokuwa nakitaka. Nilitaka kujua gharama za msingi hadi boma. Hivyo tuu.
  5. A

    Gharama za ujenzi TZS 13M

    Nitakuja kuleta mrejesho mkuu. ila so far nimeshapaua, plaster, rough floor, umeme ushawaka, gypsum na kuiskim, septic tank zote taari, gril za madirisha na milango ya mbele na nyuma taari. hadi hapo imenicosts almost 46M. sehemu iliokula hela ambayo haikuwa kwa bajeti ni mchanga coz sikutumia...
  6. A

    Kutapeliwa siyo ushamba

    Hahaa, Mkuu hakika umenikumbusha mbali aisee. Iliwahikunitokea nikiwa Arusha 2007 nimeenda zangu town stand kule kununua mkanda wa suruali ile ya utambi, sasa wakati nachagua akaja jomba mmoja kavaa barakashee akaniuliza habari za hospitali hivohivo nikamwambia sijui, akaja msamaria akamwambia...
  7. A

    Safari Lager Vs Kilimanjaro

    Aisee safari ni Beer la maBeer, Mimi huwa ninacode zangu, nikifika counter namwaambia kwanza nipe Safari iliyotengenezwa atleast mwezi1 uliopita na anitafutie shingo nene, hapo naburuduka mpaka basi...Safari ni Safari
  8. A

    Uzi wa kutafutana waliopoteana kwa muda mrefu

    Aisee namtafuta jamaa yangu anaitwa Kelvin Damian nilisomanae Enaboishu secondary Arusha huko 2006-2009. Alikua anaishi sanawari ya juu kabla ya mashineni. Kabila ni mmbulu. Tangu tunamaliza pepa ya mwisho sijawahi onananae tena. Jina la utani tulikua tukimuita Baba Jeriii
  9. A

    Msaada wa mawazo, nina 5,500,000 naweza kujenga nyumba ya aina gani?

    Thanks, Kuna bwana m1 kaniambia tofali 4,000 hazifiki.
  10. A

    Msaada wa mawazo, nina 5,500,000 naweza kujenga nyumba ya aina gani?

    Uongo kwako mkuu. Nipo najenga now. Itategemea wapi anajenga, aina ya nyumba na size ya nyumba na msingi atatumia material gani ndio itadetermine kiasi cha tofali za kutumia. Mleta mada kaomba ushauri kwa pesa yake atajenga nyumba ya aina gani.
  11. A

    Msaada wa mawazo, nina 5,500,000 naweza kujenga nyumba ya aina gani?

    Binafsi nipo kwenye ujenzi na nimefikia hatua ya kupaua. Wakati naanza nilitaka msingi uendejuu kidogo kutokana na nature ya eneo na ulikula tofali 2,000 na wakati wa kupandisha ukuta hadi kwenye linta na kozi3 za juu nikatumia tofali 2,000 pia. Inategemea na aina ya nyumba yenye unataka.
  12. A

    Msaada wa mawazo, nina 5,500,000 naweza kujenga nyumba ya aina gani?

    Kwa vyumba vi3 utatumia tofali kama 3,500 - 4,000 hapo kila tofali ni tzs 1,000. Bado cement, mchanga n.k atleast endelea kujichanga uongeze pesa
  13. A

    Gharama za ujenzi TZS 13M

    Nimetumia exactly 14 Million kunyanyua boma hadi kwenye linta. Nitakuja kuweka gharama za material zote nilizo zitumia.
  14. A

    Gharama za ujenzi TZS 13M

    Shukran mkuu. Hii ni bajet ya boma pekee.
  15. A

    Gharama za ujenzi TZS 13M

    Around sqm150 hv
  16. A

    Gharama za ujenzi TZS 13M

    Kwasasa mkuu niponayo mbali kidogo maana ni mafile. But nataka kufahamu just roughly tuu
  17. A

    Nawashukuru kwa mawazo yenu, kwa sasa nimehamia kwangu

    Mkuu hilo shimo dogo umemaanisha nini, je ni yale wanasema ni yakisasa hayajai au ni yale yakawaida?
  18. A

    Gharama za ujenzi TZS 13M

    Wakuu habari, Muda siomrefu natarajia kuanza ujenzi maeneo ya kigamboni. Ramani nilishapata hadi kibali sasa imebaki mimi tuu kuanza. Kuna fundi mmoja nilimtafuta anikadirie gharama na gharama za material tulizo kadiria kuanzia msingi hadi lenter zilikuja TZS 9.6M na yeye akasema ya ufundi...
  19. A

    Waliojenga mwaka 2021 tunaomba uzoefu wenu

    Nakazia hili swali. Tufahamishe mkuu.
Back
Top Bottom