Huyu Faiza Fox anakuaga na kauli za kukera lakini ana akili zaidi tunavyompa credit. Kwa mfano kwenye hii thread kaongea point tupu kwa wale tunaoelewa war on terror.
Kila iitwapo leo nasikia matangazo ya fiesta yakihusisha wakuu wa mikoa na makamanda wa mikoa.
Fiesta hukusanya malaki ya watu hasa vijana wakinywa, wakizini na kulewa. Tena fiesta hufanyika karibu mwezi mzima tena nchi nzima.
Upande wa pili, serikali imepiga marufuku mikusanyiko ya kisiasa...
The Boss hii nchi inapotea taratibu. Media zishatulizwa. Upinzania ni one-man show inaitwa Lissu. Wakuu wa dini ambao nilitegemea wangekuwa mstari wa mbele kukataa hii hali ndio vibaraka wakuu wa serikali.
Wasomi washatulizwa na uhakiki wa vyeti usioisha kwa zaidi ya miezi minne sasa. Baadhi...
Wana JF heshima kwenu? Ninajua wapo kati yetu tunaompenda Magufuli kupitiliza hali kadhalika wale baina yetu tusiompenda hata kumuita majina kama Dikteta. Demokrasia inawaruhusu wote kufanya hayo hivyo sitawaingilia. Kubwa ninalotaka kusema ni kuwa mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli ni...
Mimi ni Mkristo lakini kwa huyu Nawanda Yahaya nimepata huruma sana. Dogo si tu anaonekana anaelimu ya kutosha (kwa level ya DC) bali hata kazi anaiweza. Alipokuwa Singida nafikiri alipandisha sana kipato cha wakazi kule mpaka wakamuita DC wa kuku maana alitumia kuku kama njia ya kuwatoa watu...
Mnaouliza nchi gani inaonyesha bunge live kwa saa 8 jibu lenu hapa. Australia ina dedicated channel inayoonyesha Bunge si tu live wakati wote likiwa hewani, bali inaonyesha bunge kwa saa 24 kwa maana kwamba live streaming ikiisha wanarudia matukio kwa saa 24. Suala eti watu wafanye kazi ni...
Nasema Lipumba umenikumbusha darasa la pili B nilipofundishwa na mwalimu wangu mama Msensemya comparative na superlatives. Kwa waliosahau mifano ni kama: good, better, best au bad, worse, worst. Sasa kwa Lipumba ni: KIPUMBA (kidogo), PUMBA (kubwa kidogo), LIPUMBA (pumba kubwa kuliko yote)...
Sababu ni kampeni wakati akiwa CCM sio UKAWA. Ni hivi. Wanaoratibu huu mpango tayari wamesema kuwa sababu moja wapo ya kumkata Lowasa kwenye kinyang'anyiro cha CCM ni yeye kuanza kampeni mapema. Kwa mujibu wa chanzo hiki, walimkata wakijua kuwa upinzani wangemshitaki kwenye tume ya uchaguzi kama...
Nimekuwa najiuliza kwanini CCM imekuwa kimya na tukio la Lowassa kuhamia CHADEMA-UKAWA. Leo nimepata jibu kwanini.
Habari za uhakika toka jikoni CCM ni kwamba kuna mpango ushasukwa wa kumkata tena Lowassa. Ni hivi, Tume ya uchaguzi imekwisha kabidhiwa picha za mnato na video zinazomuonyesha...
Siwezi kuwa na "chuki binafsi" kwa mtu niliyemzidi kila kitu maishani kuanzia elimu, cheo mpaka fedha. Na ni ujinga kumtukuza mtu kwasababu tu kwa mawazo yako ni mchambuzi mzuri eti kwa kuwa anahojiwa na Channel Ten au BBC. Anyone mwenye muda wa kupoteza anaweza kwenda huko. Lakini muulize...
Prof? Huyu mpuuzi hana hata PhD uprof kautoa wapi? For the record, alikuwa admitted kufanya PhD 2004 ila mpaka leo status yake ni no-PhD. Majuzi kapandishwa cheo kuwa lecturer thanks to his good religion na connections za kihaya kwa Mukandala maana kwa sheria mpya huwezi kupata u-lecturer bila...
Mpaka sasa tumeshapewa uongo wa kutoosha kuhusu hili sakata la Dr Ulimboka. KWakuwa nina hasira kali, naomba nisiongee sana.
Ninachowaomba ni nyie kama watu makini msome barua ya Chama cha madaktari halafu mniambie kivipi serikali ipo innocent katika umafia huu. Gazeti la Jamhuri lililotafuta...
I am an academician from UDSM. Just wanted to warn the young man that populism usually ends in tears. Hiding behind religion and media doesn't make anyone more intelligent than they are. You either go to school (ie put up) or shut up! There are no two ways to this.
I have watched with sadness events that unfolded in Zanzibar in which self-proclaimed Federation of Islamist Revival gangs ran riot this weekend. While their request are worthy of a debate since Tanzania is a democracy, the subsequent thugish acts that involved the burning of the church and...
Yani Pasco wadanganyika wakiwapa tena CCM, ndo nitaacha kabisa kuwaonea huruma kwa ujinga wao. Huwezi kuchagua wahuni halafu wakifanya uhuni ulalamike kwanini wanaufanya. Kaimani kangu kadogo kalikobaki kanawekwa na theory kwamba watu wakiminywa vya kutosha juwa wanashtuka. Si unaona warusi...
Japo wengine kila kukicha hawaachi kupiga kelele kuwa CCM na JK wanainyonya Tanzania mie nacheka mpaka jino la mwisho. YES, najua JK ndiye mmiliki wa Richmond na DOWANS kama Lowassa alivyotueleza; najua pia katika kusherehekea miaka 50 ya umaskini serikali imefuja bilioni zaidi ya 60, na mengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.