Search results

  1. D

    je ni halali?

    eti wadau ni halali kwa askari polic au mwanajeshi kutopanga foleni ya kwny atm bank hii imetokea leo nikiwa bank kwny folen alitokea askar wa kikosi cha ffu alipita moja kwa moja had kwany atm na kuacha watu wengine wakiwa wamepanga foleni,je ni halali?naomba ufafanuz wadau
  2. D

    kifua kikubwa kwa mwanaume

    eti jamani ni lazima kwa model wa kiume kuwa mbeba vyuma?na je ni kwel kwamba wadada wanavutiwa na wanaume wenye vifua vikubwa?
Back
Top Bottom