wanabodi,
nimekuwa nikifikiria juu ya kuanzisha biashara ya kuuza vifaa, ku-install systems na kufanya maintenance ya solar power systems kwa muda sasa.
naomba msaada wa kimawazo na taarifa juu ya upatikanaji wa vifaa,na taratibu za kisheria za kufuata
pia kama kuna watu walio kwenye biashara...
salaam,
nahitaji mchumba/mke
anayejiheshimu/muaminifu
mpenda maendeleo.
we can opt for ndoa ya serikali if islam
mmi ni mkristo safi, 30 years,umri wake uzingatie hili
frangerry1@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.