Mtoa mada we ni tambara kama unataka kujadili suala la elimu ya wabunge mtaumbuka na magamba yeni embu tupambanushie CV ya Michael Lekule Lizer (MB) Longido na Maji Marefu kama hutapoteza fahamu zako finyu kama ufagio wa buibui.......
Mi nadhani sasa ifike mahali tuvae uhusika na kuwanyookea hao ******* wanao jiita "ngazi za juu" kwani wanajisahau sana utadhani hawahuzaliwa na Mama bana tuacheni kuvumiliana mpaka inafikia mtu kutolewa uhai kwa manufaa ya wajinga wachache.....
Jamani sasa fike mahali Watanzania tusimame kwa Tanzania tuache nidhamu ya uoga na udhaifu usio na manufaa kwanini tusiungane kwa pamoja na kuihoji serekali juu ya uozo na utumbo unaoendelea? Poleni sana Madaktari haswa Dr. Ulimboka usihofu Mwenyezi Mungu atakuafu... Heri kufa ukipigania Haki...
Kila nafsi itasaka haki popote na kwa vyovyote itakapobidi. Hata wakati wa mkoloni kulikuwa na baadha ya watu walipenda kuendelea kutumikishwa na kukosa haki ila kuna waliochukia ndio maana zama hizo zilitoweka na kudidimizwa kabisa. Sasa niwakati wa mapambano ya kumtokomeza adui ujinga kwa...
Nawashangaa sana nyie mnaokazana kusema CDM ni chama cha kauli na hawazitekelezi hao magamba wameshawahi kukutekelezeeni mangapi? Barabara, umeme, maji, elimu, afya,maisha bora kwa kila mtanzania lipi kati ya hayo kwako limefanikiwa? Wachani kwa washabiki wakinafiki ulitaka hata akitumia gari...
We kuwa na akili hata kidogo punguani wewe unavyo sema Lema mwizi utadhani kawahi kuiba kwenu kichefuchefu mzito wewe...... Hao walioiba ma twiga, tembo, faru, hela za BoT, radar, ndege ya jamaa huwaoni ukawaita wezi kichwa chako ndio cha mwendawazimu kweli kama Tz ilivyo.......
Tamko lilishatoka kwa wananchi wa Arusha hata likisimamishwa jiwe Chadema na mtu maarufu CCM ndani ya Arusha jiwe litashinda tu.! Kwani huyo Chitanda akili yakeikoje?
Kwa habari zilizo nifikia ni kwamba Mwenyekiti Mbwambo ndio aliyeongoza vuguvugu la kukamata kura fake kwa baadhi ya viongozi wa CCM sasa inawezekana kabisa kwamba hiyo ni hujuma ya kisiasa R. I. P Mwambo.
Hell no na hapo wakizingua tunawasha moto kamili sasa maana ya Arusha tumewastahi, mawaziri wamegoma kujichomoa mwiba, Pinda kawekuwa ukuta tena na mwanamke sasa huko kwa Lisu wasizingue jamani..
Wanafaa kujiuzulu wote walio banwa kwa kashfa kwa namna moja ama nyingine sio hao tu na sio tu kujiuzulu pia wafanyiwe uchunguzi wa kwanini walishindwa kazi.....
Mjomba umeangukia shimo la siafu bro unawezaje kujitamba na kusimama kifua mbele kwamba "chama kiko imara" hata haya huna mnakamatana ugoni wenyewe kwa uongo still na wewe hapa unaendelea kudanganya takwimu na idadi una tupa ya enzi za azimio we ni punguani kaa hapo kama jinga man subiri heshima...
Duh kwani kujiuzulu kwao ni kinga ya kutokufilisiwa??? Mi nadhani ingekuwa vyema nakupendeza kama inpofika mahala kiongozi anahitajika kuwajibika na kufilisiwa pia ikiwezekana avuliwe madaraka yote aliyonayo kumuondolea kinga ya kisiasa.....
Hata wakikwepesha hukumu yao ndio inavyozidi kuwa mbaya wanatakiwa wasisahau "the ealier the better". Wabunge vijana na wageni CCM hao jamaa wanatengenezea wakati mgumu kwenye uchaguzi ujao wakijua hata wasipo chaguliwa walishachuma zao zakutosha.....
Our time is now people what we need is Tanzania for Tanzanians not Tanzania for interested investors who help us nothing but we help them to be much rechier and we going very much poorer.... Just let them go for their land.
Dawa nikuachana na siasa za ushabiki tugeukie uzalendo sasa hawa jamaa zetu wa magamba wanajisahau sana wanakomalia ushabiki wa kijinga zaidi ya usimba na uyanga.
Mmmh mitoka nakuwa mkubwa sijapata sikia ndege imedondoka kwenye maji kama zinazo dondoka nchi kavu au ndii kusema hao marubani hawajui kucharaza maji poa???
"Only time will tell". Godbless Lema alisema kabla ya kufunga na maombi mazito juu ya maamuzi wazimu ya serekali yetu na sasa hizi ndio sidekick za Lema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.