Zile zina hesabu zake usituchanganye ubungo tunapita kila leo hapo sawa tuna ulizia ile 1.5 T haijaonekana imefanyia nn. Hayo maeneo unayotaja pesa zimepigiwa hesabu na bunge linajua wapi zimepatikana. Ulichojibu ni upumbavu
Kabisa mkuu. Jamaa wana roho flani ya ya hovyo saana na ubaya hata kwa mambo wasiyo yajua wao hawafikirii wanaropoka tu. Eti watanzania hiyo kanda yao inaweza kufutwa tu afu kanda zilizo bakia zikaishi vzr na uchumi ukakua tu tena zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.