Kwani Kuna tatizo mkiristo akanyiwa Dua, wazee wa zamani wa kiislamu hawakuwa na chuku na watu wa Imani nyingine,, waliishi nao vizuri nao vizuri na kushirikiana nao kwa shida na Raha.
Upo uzi unaosifia waislam walioshika dini walivyo waaminifu hasa katika biashara.
Tatizo lipo kwa wale...
Kama walikubaliana Basi Chadema litakuwa chama Cha ajabu Sana maana chaguzi wanazofanya ni maigizo, lakini inawezekana maana Chadema walipora madaraka ya kuchagua mgombea urais mwaka 2015 na watu wachache kumpitisha marehemu Lowassa
Tff inaendeshwa kisiasa, tatizo kubwa ni viongozi wa vilabu hasa Simba na yanga, Bodi ya ligi ni ya kwao Ila wanaendeshwaendeshwa tu. Kama wangejali ubora wa ligi, ligi ingechezwa viwanja visivyozidi 5 hii ingefanya wenye viwanja vingine waviboreshe.
Mwalimu alikuwa na Nia thabiti ya muungano Ila alichowaza yeye sicho walichowaza wengine.
Mwalimu alifikiri baada ya wazanzibar kuona faida ya muungano wangedai serikali moja kumbe hakuwajua kiundani kuwa ni wabinafsi kupindukia
Karume alitaka serikali moja Nyerere awe rais yeye makamu lakini Mw. Nyerere alikataa.
Kabla ya kupost maswala Kama haya ni vizuri ukasoma historia ya nchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.