Habari Wakuu....
Poleni na majukumu...
Hihisi kila moja wetu anafahamu kwasasa ulimwengu wote upo online.
Basi Siku moja katika pitatita zangu za kufanya research ya bidhaa tofauti tofauti katika maduka ya online namaanisha Alibaba, Made in china na 16688 n.k
Sasa wakati swipe up baadhi ya...
Habari wakuu,
Leo nimewaletea mchongo wingine. Nafikiri kila mmoja anafahamu smart watch nini?
Kama haufahamu smart watch nisaa ya mkononi inayotumika kama kisaidizi cha Simu ya mkononi. Hutumika kupiga simu, kuchati online na kawaida, video call n.k
Kwasasa hizi smart watch zina soko sana...
Habari,
Mimi ni mpenzi Sana wa kusoma majarida mbalimbali online. Sasa siku moja nikukuta jarida likijadiliwa linalo husu kuagiza bidhaa kutoka china hadi dar kupitia Alibaba, Ali express, 1688, Taotao,Yuwin. nk
Nikajiseme nami nikajaribu kwa kufuata hatua hizi nilizo soma kwenye lile jarida...
Jipatie simu ndogo ya botton aina ya Nokia kwa bei ya jumla na rejareja:
Nokia 106
Berri 1700mAh
Full box
Warranty 12 month
Bei: 25000/=
Jumla 21000/=
Tunapatikana Dar es salaam,mbagala
Tunafanya delivery ndani ya dar na mikoani piah bidhaa zetu ni uhakika karibuni:
Kwa mawasiliano tupigie...
Wazee,
Mimi nipo Mbagala naomba kuuliza kwa wanaojua au kwa ambao walishawahi kuagiza kitu kupitia Ali express. Mimi nataka kuagiza kitu kupitia Ali express ila inanishinda.kwa sababu nilishazoea kuagiza kupitia alibaba.
Na kwa alibaba ipo ivi na mtumia supplie wang Address ya agent wangu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.