mi namuunga mkono ndugu yangu.kwa nn upate ufahari na faraja ya cku moja na kuishi maisha ya kawaida baaden ktka ndoa.wanaoongelea ukumbusho kwan ukumbusho ni lazima mijihela mingi i2mike au mpaka kufanyike kufuru.acheni ulimbukeni.mi michango nachukua ksha harus ya kawaida.mkiniuliza nawaambia...
wafanyibiashara washajua wateja wao ni wajingajinga so ndo wanapowapatia hpo kwa kutangaza bidhaa zao na kusifia vitu vya kijinga jinga kwa ajil ya wajinga wajinga ambao ndo wapo wengi na ndo soko lao kuu.cku hiz v2 vya kijinga ndo vnapewa kipaumbele.ukiwa concious utachukiwa na kila m2.
hayo ndo mambo nisiyotaka mm.eti kwa sab nakugonga ndo nigharamikie.hayo ni mambo ya kurudishana nyuma kimaendeleo.ss atakuwa na tofauti gan na malaya?.km ni kutoa nitoe kwa ridhaa yangu kwa mambo mazuri anayonipa na kunfanyia isiwe ndo utaratibu.km mi mwanaume bahili bas hta ye ni mwanamke...
mi nina swali ambalo nashindwa kulipatia uvumbuzi je unene au kuwa na mwili mkubwa ni afya au ugonjwa.kwa sab wengine wanasema flan ana mwili ana afya.na wengne kukonda wanaona ni kutokuwa na afya.ukweli upo wapi hpa?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.