Kinachokusumbua kikubwa ni kujitambua uko wapi na unahitaji nini na kwa wakati gani!
Tulia au nenda kwa watalaam wa Seikolojia upate ushauri kilingana na umri wako!
sawa!
Sijamuelewa mwandishi labda tuibue mchango kwa kumkumbusha! ila mtu huyu binafsi kwa sasa sijui aliko japo jina lake na alichofanya katika soka hakijafutika kihivyo ukitaja Coastal Union!
Hukumu ya haraka huonea! Fikiria kiwango cha Elimu na mitaala ya siku za nyuma, walimu wa wakati huo na sasa!
mazingira ya utoaji elimu, rasilimali vifaa, Rasilimali fedha, wingi wa watu, na kizazi hiki! UTAPATA JIBU! SI HILI LAKO!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.