Tatizo La Kuwahi Kufika Kileleni Ni Nini?
Kuwahi kufika kileleni au kuwahi kumaliza tendo la ndoa au kwa lugha ya mtaani kukojoa upesi ni hali ambayo inampata mwanamme ambapo hutoa shahawa kabla ya kuanza tendo la ndoa au muda mfupi tu baada ya kuanza tendo, bila yeye mwenyewe kukusudia . Kwa...
Vifuatavyo ni vitu vya kuzingatia unapofanya DAILY SKIN CARE ROUTINE yako yaani ASUBUHI na JIONI.
WAKATI WA ASUBUHI
Wakati wa asubuhi ngozi zetu huathiriwa sana na environmental damages kama vile jua,vumbi na taka zingine zilizopo hewani.Hivyo basi tunashauriwa kulinda ngozi zetu asubuhi dhidi...
TONER
• Kazi kubwa ya Toner ni kubalance pH ya ngozi, kutoa uchafu wote uliobaki baada ya kuosha uso (kuosha uso pekee kwa maji na sabuni haimaanishi umetoa uchafu wote usoni), inazuia bacteria kwa kiasi fulani, inasaidia kufungua pores na kulainisha ngozi ya uso.
AINA ZA TONER
Tutazungumzia...
Eczema (pumu ya ngozi): ni ugonjwa wa ngozi ,unaofanya ngozi kuwasha sana,ngozi kuvimba,kuweka vipele vingi vidogo vidogo venye rangi nyekundu. Ugonjwa huu huanzia utotoni mara nyingi pia hushambulia watoto na wazima, hushambulia sehemu mbali mbali za mwili na viungo vya mwili kama vile kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.