Habari ndugu zangu, kama kichwa kinavojieleza, nataka kwenda south Africa kukaa siku Tatu. Kuna nyuzi nyingi zinazoelezea safari ya kwenda South Africa ila ni za muda kidogo. Wakuu naomba kufahamu yafuatayo:
1) Documents ninazo takiwa kuwa nazo achilia mbali passport na yellew fever.
2)...
Habari wanabodi?
Naomba kujua kwa mtu aliachishwa kazi Serikalini na alikuwa na mkopo wa Bank. Ile hela ya mkopo inalipwa kwa namna gani na Bank wanawezaje kumbana mteja wao?
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.