Habari ndugu zangu, kama kichwa kinavojieleza, nataka kwenda south Africa kukaa siku Tatu. Kuna nyuzi nyingi zinazoelezea safari ya kwenda South Africa ila ni za muda kidogo. Wakuu naomba kufahamu yafuatayo:
1) Documents ninazo takiwa kuwa nazo achilia mbali passport na yellew fever.
2)...
Nmekuelewa mkuu,,, ila ukirejea kwenye Mada ni hatua gani ya moja kwa moja anayoweza chukuliwa mteja endapo atashindwa kufanya marejesho kama akiwa amefukuzwa kazi?
Shukrani,(kwa mtu aliachishwa kazi) sasa Kuna barua inatokea Bank kwenda kwa mteja kumtaka alipe pesa na kuelezea hatua watakazo chukua asipolipia mfano kupeleka deni kwa zile agencies za ufilisi.
Habari wanabodi?
Naomba kujua kwa mtu aliachishwa kazi Serikalini na alikuwa na mkopo wa Bank. Ile hela ya mkopo inalipwa kwa namna gani na Bank wanawezaje kumbana mteja wao?
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.