Ukitaka kujua umuhimu wa Mungu angalia neno la kwanza lililopewa kipaumbele kwenye wimbo wa taifa, walimpa Mungu nafasi ya kwanza kwenye taifa hili,Mungu ni wa HAKI na ikiwa tunataka baraka za Mungu tujifunze kutenda HAKI kila mmoja kwa nafasi yake, Baraka haiwezi kuwa HAKI yetu ikiwa kuna...
Mbona unalalamika juu ya wanaume tu je wanayofanya wanawake haujayaona hebu hemu gusa na yao maana hakuna aliebora unakuta mwanamke /binti ana mikono na miguu hana kilema chochotevna ana nguvu za kufanya kazi kwa nn akajiuze huo nao ni utumwa wa ngono
Tutabishana kwa mambo yasiyo ya maana wabunge ni WAWAKILISHI TU ikiwa wameshindwa kufanya tulichowatuma Kufanya kama WAWAKILISHI ni bora waturudushie mchakato huo WENYEWE TUPIGE KURA tuwaonyeshe nn tuna taka
lakini kwa kuwa wanatumia mabavu na collapse system zao watakataa na kutokubaliana na...
ni vzuri lakin lazima ufanye cost analysis, market survey na ufanye risk analysis ni vizuri kama utakuwa na wateja wa uhakika kwa kuongea nao na kukubaliana nao uwapelekee na wateja wako wakuu ni mabaa grocery na hotel pia kama utawaza uwe na flame kwa ajiri wateja wengneo but i hope kama...
hongera kikwete maneno matupu hayavunji mfupa action will tell us ua seriuosness
umesema NYOKA mwenye ndimi mbili na SIO nyoka WENYE NDIMI mbili maana yake yuko mmoja, je ni kweli yupo nyoka mmoja ?
wanaong'ata na kupuliza ndani ya CCM ni wengi hao huku WASEMAWEMA huku WASEMAMBAYA hawana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.