Ndo kilichonikuta, jamaa walikuwa watatu wameumana, kwenye Kona Hamad hawa hapa ikabidi nitoke barabarani, pembeni kulikuwa na nguzo imekatwa ikachana tairi. Kibaya zaidi kwenye Gari nilikuwa na mtoto.Nilitoa laana zote
Magari ya serikali yamekuwa yakilalamikiwa sana kwa Uendeshwaji mbaya usiojari usalama kwa watumiaji wengine wa barabara.
Mwaka jana walinisababishia hasara ya kuchana tairi nilipokuwa nikijaribu kuwakwepa hawa ndugu maeneo ya Mkata.
Last week wamemkosa kosa mtoto kwenye eneo la makazi...
Good insight.
Ila somo la Oil kila mtu naonaga ana maoni tofauti. Mfano mimi nina SG5 turbo na natumia Castro GTX 10W40 zaidi ya mwaka sasa na Dude linadunda kama kawa.
Nakubaliana na wewe kwenye uwashaji na uzimaji wa Gari ya turbo, ndo maana JAMAA wanakuwekea turbo timer.
Habari zenu!
Kuna dhana,exaust kutoa matone ya maji kwa baadhi ya Gari unapowasha (Cold Start) kwamba inaashiria uzima wa Engine.
1. Je, kuna ukweli kwenye hii dhana?
2. Nini kinasababisha exaust kutoa Maji kwa baadhi ya Gari unapowasha (Cold Start)?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.