Nimeshuhudia watu wawili walionunua hiyo gari wakipata shida nayo. Mmoja toka imefika inashinda gereji tuu hajawahi kuendesha zaidi ya siku moja bila kumletea tabu.Mara inachemsha, mara Cylinder Head inasumbua, mpaka sasa imehamishia makao yake Gereji jamaa anafikiria kuiuza kama scrapper.
Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.