Yaaah Biashara ipo tayari,kuhusu tabia nimesema awe na mapenzi ya Dhati,sura siangalii sana lakini asiwe na sura imesimama sana kama ya mwanaume........kwa mwenye sifa ani PM tupeane no au njia nyingine ya kuwasiliana.
Jamani Habarini zenu wanajamiii mm ni mgeni hapa jamvini,mm ni kijana (mvulana) mwenye miaka 29 ninaelimu ya Chuo (Single Degree) na tayari nimeshaajiliwa nafanya kazi ila katika maisha yangu naona nimepungukiwa na mke mwema kwa hiyo natoa fulsa kwa Binti mwenye sifa zifuatazo...Awe na Elimu...
pole sana ila kama atakuacha mm niko tayari kukuoa maana napenda sana wanawake wenye makalio makubwa sitojali unamtoto ila kama utanipenda kwa dhati....kwa hili sitaniii wewe ni PM tu utaona mwenyewe...wanaume wengine bana yaani anaona kero kwa wewe kujaliwa makalio hajui wengine ndo tunatafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.