Inholland university ama Inholland hoogschool diemen,kimepata scandal ya kuwa kimekuwa kikitoa vyeti kirahisi kwa ajili ya kupata subsidy serikalini,wanafunzi waliomaliza karibuni imewachanganya Sana kutokana na scandal hili,itawawia vigumu katika market ya kazi,maana hizi habari ya hichi chuo...
Kwa wale siku za mbeleni watataka kuja kusoma in the Netherlands wawe makini na hichi chuo cha Inholland hoogschool diemen ni chuo fake,kimekuwa kikitoa vyeti kwa urahisi kwa ajili ya kupata subsidy kutoka serikalini,imewachanganya wanafunzi wengi waliomaliza hapo katika kutafuta market ya kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.