Nlichogundua ni kwamba kuna ukweli flani kwamba ile ndoa yao ilikuwa ya kulazimishwa. Umri na kila kitu ni tofauti. Makanisa mengi ya kipentekoste wana tabia ya kuwaozesha mabinti wanaume wasiowahitaji, nao hukubali sababu wanawatii watumishi
Hivi kuna mtu bado anaamini Mbowe ni Chadema? This man is purely mean and greedy. Mhujumu mkuu wa chama
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.