Kwa mwenendo wa utendaji wa serikali sasa unavyondelea hasa kwenye sekta ya fedha, haki za binadamu na demokrasia, ni wazi baada ya miaka michache pengine watanzania walio wengi watakuwa wamerudi miaka 50 nyuma za maendeleo kwenye sekta tajwa. Ni bunge letu ndio lenye meno ya kutukwambua.
Kwa...
Leo Ukawa wanaunguruma hapa Tabora katika viwanja vya Town School. Wanatoa Elimu juu ya Muungano. Waongeaji wakuu no John He he na kiongozi mwandamizi wa NCCR. Watu no wengi sana jamani
Nimependa comments zako. Napenda ku-declare interest kwamba Mimi in mhitimu wa SAUT na sasa nina Master degree ya Linguistics.
Napenda niwasaidie ndugu zangu katika chili LA ranking. Kuna vigezo vingi lakini vya msingi no research, consultancy, publications.
No kweli, UDSM wanna maprofesa...
Hisia za vijana kwa sasa ni kubwa sana. Kimsingi, nionavyo mimi, hatua ya zaidi ya 60% kukataa muundo huu wa sasa wa muungano ni reaction ya wananchi towards their gvt. Serikali imewaapuuza sana wanachi wake na mbaya zaidi ina-ignore tafiti za ndani kwa muda mrefu sasa. Tafiti hizo ni pamoja na...
Mimi mwenyewe nilikuwa msemaji namba mbili na nilitoa hoja zilizo badilisha upepo ukumbini. Ikumbukwe kuwa, mdahalo huo ulioandaliwa na umoja wa vyuo vikuu na vya kati hapa Tabora ulikuwa wa kificho hivi. Na kama ulikuwa na agenda ya kisiasa kwani meza kuu yote ilikuwa viongozi wa CCM mkoa...
Kwa sisi tulioko kwenye taasisi za vyuo vikuu tunaona jinsi gani vijana wa mihemuko ya mabadiliko. Kwa utabiri wa kisomi, miaka kumi inaweza kuwa mingi kwa mabadiliko Tanzania. CCM pamoja na uzuri wake inavyojusifu...itaangua vibaya ndani ya siku chache. Ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira ni...
Kama nilivyosema hapo juu, mwisho wa siku watanzania hawa hawa ambao CCM wanajinasibu kuwasemea kwa kumtetea Nyerere wataamua kusema wenyewe. Muda utaamua
Unafiki unaoendelea kwa sasa hapa Tanzania unatisha. Tusipokuwa makini tutapoteza historia yetu kama Taifa. Huu ni ujumbe kwa wana-CCM na UKAWA. Karibuni kwa mawazo huru!
===========
Kwa Msomaji
MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE: MSAAFU AU HIRIZI?
Kwanza nichukue fursa hii kukupa Hongera kwa...
MSUKI,
Uwambie na wenzako kama Litz na wafanyakazi wa Lumumba na Kizota. Uongozi mzuri ni unaothubutu. Hamuwapendi viongozi wakuu wa CHADEMA kwa kuwa wamegundua mnachokifanya. Mtasema sana, mtanuna sana...one thing 'Watanzania wa leo sio wa kura ya siri'. We shall do whatever it takes...2015...
Napata shida sana kuona watu wanakuwa na wasiwasi wa kuanzisha vyuo vikuu vya kutosha. Tanzania tumekuwa nyuma sana tukilinganisha na nchi nyingine zilizopata uhuru miaka ya 1960 kwa sababu ya unyuma wa elimu yetu. Maendeleo yeyote yale yanatokea kwenye elimu. Akili za kutukuza uUDSM na uSUA si...
Ukijaribu tutetea uongo unaojulikana na public ili uugeuze ukweli tegemea kukutana na nguvu ya umma. Hongereni watanzania kwa kimzomea wakili Msando. Leo lazima zzk atimuliwe tuweze kusonga mbele. Viva CHADEMA chama maki
Ukijaribu tutetea uongo unaojulikana na public ili uugeuze ukweli tegemea kukutana na nguvu ya umma. Hongereni watanzania kwa kimzomea wakili Msando. Leo lazima zzk atimuliwe tuweze kusonga mbele. Viva CHADEMA chama makino
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.