My Profile.
Job seeker/ Internship.
Profession:- Wildlife Management (Uhifadhi/ Usimamizi Wanyamapori).
Experience:- 3+ years.
Education Level:- Bachelor Degree.
Current Location:- Simiyu.
Gender:- Male.
Age:- 31 years.
Driving skill with a possession of a valid Class D driver...
Hongereni sana wote mlioona majina yenu kwenye pdf ya jana. Mmojawapo ni madam ambaye tulisoma Chuo kimoja ingawa yeye alikuwa chini yangu.
Kibinadamu mapigo ya moyo yalienda mbio baada ya kutoona jina langu na nikasema "hatimaye nainua mikono juu kuashiria safari yangu ya ajira kupitia PSRS...
Bado kwenye familia zetu hizi wakisema mchangishane hela mumlipie ada mdogo wenu wa mwisho anayesoma Chuo, na wewe ukasema huna hela, wanakuona mzigo tu na wanataka ufanye lolote utume hio hela. Aisee! Sijui utakopa wapi, sijui utaomba wapi ila hela itumwe. Mungu atusaidie sana, hatukupenda kuwa...
Mkuu, asante sana. Nimekuelewa vema.
Umenikumbusha jambo.
Kuna jamaa tulisoma wote Chuo kimoja, Mwaka mmoja wa masomo lakini Kozi tofauti (Yeye Kozi X, mimi Kozi Y). Huyu jamaa alikuja akapangiwa kituo cha kazi halmashauri flani kama Afisa Y (zingatia alisoma Kozi X na angeitwa kama Afisa X...
Wakuu, ninaomba kuelewa kuhusu hili.
Halmashauri ya Wilaya X ni miongoni mwa Halmashauri za Wilaya zilizopewa vibali vya kuajiri Afisa Y (hili nalifahamu sio story ya kufikirika). Lakini mpaka PDF ya jana ni Halmashauri ya Wilaya X pekee bado haijapangiwa huyo Afisa Y (nasema hivo kwa sababu...
Hongereni sana wote mliona majina yenu kwenye PDF. Kila la kheri katika Utumishi wenu.
Kada yangu sasa amebaki mtu mmoja tu wafikie idadi waliotangaza Serikali.
Ni ukweli usiopingika kwamba inakatisha tamaa. Na mpaka zije zitangazwe tena kwenye hii Kada yetu ni Mungu pekee anajua.
Black Mamba wapo porini sana hukoo. Ila kutoka Itigi hadi Mitundu ni kweli fursa ya Kilimo ipo. Nimeona pdf ilopita kuna mmoja kwenye kada yangu amepangiwa Itigi. Ata enjoy sana kama ataamua kutumia muda wake vizuri. Kama upo humu nitafute nikupe A B Cs
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.