RAIS wala hahitaji kuandikiwa insha kama hizi, anajua kazi zake na kila mtu anajua, au wewe unadhani unajua zaidi ya wengine? kura tunampa na wewe hupati kitu hata ukijitaja kwa majina sita.
DONT EVER DISTRACT THE PRESIDENT
Pascal, nadhani unajua iwapo malaria au ukimwi haujakemewa na watu wanaugua, tusimjaribu mungu kwa ujinga wetu. Wewe ni msomi ila tukuombe ulijenga heshima kubwa kwa kusimamia ukweli, simamia, acha kuingiza watu hadaa za gwajima eti ameomba kibali kwa PM, kwani pm MUNGU, hahitaji kwenda walipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.