Ulichoongea ni sawa lakn siku hz utaratib umebadilika, wanarudisha miamala ya Wateja bila hata kukupigia
Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
hela ikitoka bank inaingia kwenye akaunt moja kwa moja na unatoa kwa wakala wa mtandao husika, sasa hiyo ya kwenda kutoa kwenye bank tena ni suala jipya,
2. Miamala yote ya pesa za mtandao lazima zinakuja na namba ya muamala(risiti) ya Huduma uliyofanya amabyo inaambatana na muda was kufanyika...
1. CRITICAL-MATHEMATICAL INTELLIGENCE (Wale ambao ni wazuri kwenye mahesabu-vipanga)
2 . VERBAL-LINGUISTIC INTELLIGENCE (wale wanao uwezo wa KUONGEA lugha zaidi au nyingi zaidi, kama tano )
3. KINETHETIC-BODY INTELLNGENCE (Hapa ndo unawapata akina SAMATTA na wale ambao wanaweza kucheza...
Hapa Tanzania tuna James mbatia, ni mtaalam sana kwenye haya masula kama haya, na kuna watu nchi imewasomesha hadi urusi na israel kwa kazi kama hizi, ajabu yake wametupwa huko halmashaur badala ya kukaa ofisi ya waziri mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulivosaini ule mkataba wenye kurasa nyingiiiii, ulisoma kipengele kwa kipengele? au ulikimbilia tu kusaini bila kusoma mkataba wote? Kwa taarifa yako ikibainika umehudumia mteja ambaye hayupo mbele yako/mteja wa mbali adhabu yake ni kunyang'anywa uwakala. Kutokukulipa kamisheni n bado tu...
Hii stori umeikatisha kama hujaikatisha basi ulisimiliwa nusu, yule tapeli aliwapiga pakubwa sana wafiwa kuanzia huo mchele hadi hela za kusafirishia msiba
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.