Mleta Mada una gubu wewe, au kisa wewe umesoma Itigi secondary? Mbona tuliosoma Tabora Boys darasa letu karibia wote wanalamba asali tena wengine wanalamba ile inayofichwa ndani zaidi
Umeongea kitaalamu sana nahisi ulienda post namba Sita nimeelewa namna gani ukubwa wa shamba ni ekari 40 kilimo ni mpunga hivyo sihitaji tank, kisima ni cha kuchimbwa na mashine chenyewe kipo tayari, walau kwa lisaa nipate lita 40 kama inawezekana na mashine iwake japo masaa 4 tu inatosha kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.