Hawa wote wanao mtaja Josephine wana wivu naye. Wanatamani nafasi aliyonayo Josephine wangekuwa dada zao au wana laani kwa nini wao ni wanaume, wangekuwa wanawake labda Dr Slaa angewaona.
Huyu jamaa sikujua kama alifanyakazi BOT, sasa naona anavyolipuka Bungeni ninakuwa na maswali ya kujiuliza. Uzalendo huu alionao sasa alikuwa nao toka anasoma? Alikuwa nao akiwa anafanyakazi BOT? Alikuwa nao pesa za EPA zikikwapuliwa? Alikuwa nao majengo pacha yakifanyiwa usanii? Hii urembo anao...
Nadhani unatumiwa wewe, na hata aliyekutuma hakujua kama huwezi au huna lugha ya kuwashawishi watu humu. Kauli ile kuitolea Dodoma kwenye kikao cha halmashauri ya CCM mbele ya huyo mpiga debe wake si usaliti? Tafadhali rudi huko ulikotumwa waambie hawa jamaa hawakuelewi na hadhi yako humu ndani...
Ningependa kusikia mtu yeyyote aliyeko mahakamani kwa sasa hapo Sumbawanga atufahamishe kinachoendelea hapo mahakamani mpaka mwisho wa kesi utakavyokuwa.
Huyu ndiye mbunge aliyetoa msaada mkubwa kuliko wabunge wote kwenye majimbo yao wa maendeleo jimboni Milioni miatano (500m). Najiuliza pesa hizi alizitoa wapi? Je hiyo ndio pesa aliyonayo tu au alitoa sehemu ndogo ya pesa aliyonayo. Wakati umefika Mungu mwenyewe anaingilia kati kwa wizi huu...
Nakumbuka akisema kuwa anashangaa mwizi gani aingie chumbani na kuiba vitu vyote isipokuwa Bunduki, na akadai kuwa Bunduki ni mtaji mkubwa. Mimi naona ichunguzwe hiyo Bunduki haijahusika na matukio yeyote ya kijambazi? Na kama ndio naomba jeshi la Polisi lijisafishe na tuhuma nyingi juu yake kwa...
Huyu mama nadhani hata wale waliofanya mbinu chafu za kumuingiza au kumpa huo uspika hawaamini wanacho kiona na kukisikia kutoka kwa mteule wao. Anasema wabunge wa Kenya wanawashangaa, nadhani hajawaelewa. Wanamshangaa yeye nchi inayoongoza kwa umasikini wa kujitakia, wabunge ambao ndio washauri...
Kanisa Katoriki limekosa msimamo, linakemea Ufisadi unaoendelea hapa nchini. Upande mwingine linakubali kupokea fedha kutoka kwa mafisadi wanatuhumiwa ikiwa mmoja wa watuhumiwa hao ni Bwana Lowasa. Wengine wanachangia kuwa ni moja ya toba inayotolewa, nataka kujua kama anatubu kimya anatoa...
Chagonja aseme ukweli nani muhuni kati ya jeshi lake na wananchi. Wamepewa taarifa ya mauaji yanayoendelea hapo Songea na hakuna hatua yeyote ilichukuliwa. Alitaka wananchi wafanye nini waende kwao Polisi na kuwaambia kuwa tunaomba kibali cha maandamano kupinga Jeshi la Polisi kutowajibika na...
Limewahi kutokea kama hilo, itakuwa jamaa wa zamani kapata habari kachukua simu na kuandika sms ili kuharibu tu. Cha maana ni kumtafuta kwa kwenda kumuona na kujua kulikoni. Akijua kuwa ni jamaa wa kale amsamehe mchumba waendelee na mipango yao ya ndoa, kumbuka kuachwa na mpenzi sio mchezo...
Huyu jamaa namfahamu vizuri, aliwahi kununua mitihani miaka kama saba iliyopita na shule yake ya Southern Highland ikafungiwa. Kwa mbinu za ajabu na zijui kwa namna gani alielekea Dar baada ya siku chache shule ikafunguliwa na kuendelea kama kawaida. ni mzee wa mipango
[Ndugu yangu wee! Kuna tetesi kuwa alighalamia safari zote za mkoa wa Mbeya wakati Rizi- One alipomkampenia Mkulu kurudi ikulu kwa mara ya pili. Kama tetesi hizi ni za kweli, basi mkono wa Rizi- One umo katika uteuzi wa Mh Mulugo! ]
Nimesikia tetesi kuwa alichukua mkopo wa karibu milioni 300...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.