All in all wapumzike kwa Amani japo kuendesha gari usiku kama sio mzoefu ni risk sana bcoz mambo mengi yanafanyika usiku hasa tusisahau muda wenyewe ni mmbaya wenye barabara yao pia wapo kazini muda huo.
Risk nyingine ni kusafiri familia moja kwa pamoja kwenye gari bcoz ikitokea msiba unakuwa...
Me Nakumbuka Niliachwa na Bus la Princess Muro 2016, Natoka Dar kwenda Mwanza, Nilikata tiketi J5 jion safari ilikuwa Alhamic Asubh, Nikasema ngoja niende kulala kwa jamaaa angu Manzese- Argentina.
Jamaa angu akanambia tucheki movie ili kuvuta time asee ile inafika SAA 7 Usiku ndo ghafla...
Wadau naomba tujadiliane kidgo kuhusu miaka ambayo elimu ya Tanzania ilikuwa na value(thamani) katika soko la ajira yaani miaka ya 90 na sasa ambapo inaonekana dhahiri elimu yetu haina thamani katika soko la ajira,
Je tofauti ya ubora wa elimu kipindi hicho na sasa ni tofauti? Au kuna sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.